Waebrania 12:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200229 kwa maana Mungu wetu ni kama moto wenye kuteketeza. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Nilipokuwa nikiendelea kuangalia, nikaona viti vya kifalme viliwekwa hapo, kisha Muzee mumoja wa zamani sana akakuja, akaikaa. Alikuwa amevaa nguo nyeupe kama teluji; nywele zake zilikuwa kama sufu safi. Kiti chake cha kifalme kilikuwa ndimi za moto, na magurudumu ya kiti kile yalikuwa moto unaowaka.