Waebrania 12:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200217 Kama munavyojua, nyuma ya pale alikataliwa wakati alipotaka kupokea baraka toka kwa baba yake. Yeye hakukuwa tena na namna ya kugeuza tendo lake ijapokuwa alitafuta baraka ile kwa machozi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |