Waebrania 12:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Maadibisho yoyote wakati yanapotolewa yanaonekana kama ni tendo la huzuni wala si la furaha. Lakini kwa mwisho yanawaletea wale waliofundishwa nayo, maisha ya amani na ya haki. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |