Waebrania 12:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Wababa zetu wa kimwili walituadibisha kwa siku chache kufuatana na vile walivyoona kuwa vema. Lakini Mungu anatuadibisha kwa mafaa yetu kusudi tupate kushirikiana naye katika utakatifu wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |