Waebrania 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Basi pasipo imani, hakuna mutu anayeweza kumupendeza Mungu. Kwa maana mutu anayetaka kumwendea Mungu sherti aamini kwamba Mungu yuko, na kwamba anawapa zawadi wale wanaomutafuta. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |