Waebrania 11:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Kwa njia ya imani, Enoki alibebwa na Mungu toka katika dunia pasipo kufa. Naye hakuonekana tena, kwa sababu Mungu alimubeba mbinguni. Maana Maandiko Matakatifu yanasema kwamba mbele ya kubebwa kwake, Enoki alishuhudiwa kwamba alimupendeza Mungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |