Waebrania 11:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200235 Kwa njia ya imani, wanawake wamoja walifufuliwa na kurudishiwa wale waliofiwa nao. Wengine waliteswa mpaka kufa, nao wakikataa kuachiliwa kusudi wapate ufufuko unaokuwa bora zaidi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |