Waebrania 11:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
22 Kwa njia ya imani, Yosefu alipokuwa karibu kufa, alisema juu ya habari za wakati Waisraeli watakapotoka katika inchi ya Misri, na kuwaagiza juu ya mifupa yake.
Musa alipeleka mifupa ya Yosefu kama vile Yosefu alivyoagiza mbele ya kufa kwake. Alikuwa amewaapisha Waisraeli akisema: “Mungu atakapowafikia kuwatoa katika inchi hii, munapaswa kupeleka mifupa yangu kutoka hapa pamoja nanyi.”
Mifupa ya Yosefu ambayo Waisraeli walikuwa wameileta kutoka Misri waliizika kule Sekemu katika eneo ambalo Yakobo alikuwa amelinunua kutoka kwa wana wa Hamori, baba ya Sekemu, kwa bei ya vikoroti mia moja vya feza. Eneo lile nalo likakuwa mali yao wazao wa Yosefu.