Waebrania 10:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200222 Basi tumwendee Mungu kwa moyo wa uaminifu, kwa imani kamilifu, kwa moyo uliosafishwa toka zamiri mbaya na mwili uliosafishwa na maji safi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Muheshimiwa Teofilo: Watu wengi wamejaribu kuandika juu ya mambo yale yaliyotendeka katikati yetu. Wameyaandika sawa vile tulivyoelezwa na wale walioona mambo yale tangu mwanzo, na waliotangaza ujumbe ule. Inafaa nami vilevile kisha kuchunguza kwa uangalifu mambo yote tangu mwanzo, nikuandikie kwa utaratibu,