Waebrania 10:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Wale wanaomwabudu Mungu kwa njia ile wangetakaswa kabisa kwa mara moja tu, nayo zamiri yao isingewahukumu tena hata kidogo juu ya zambi, basi sadaka zile hazingeacha kutolewa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |