Waebrania 1:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Kwa maana Mungu hakumwambia hata mara moja mumoja wa wamalaika wake hivi: “Wewe ni mwana wangu, mimi leo nimekuwa baba yako.” Wala hakusema maneno haya juu ya malaika yeyote: “Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwana wangu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |