Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waebrania 1:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Utavikunjakunja kama kanzu, navyo vitabadilishwa kama nguo. Lakini wewe utabaki sawasawa, na maisha yako hayatakuwa na mwisho.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waebrania 1:12
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu ni mukubwa sana hata hatuwezi kumujua; muda wa maisha yake hauchunguziki.


Kwako miaka elfu moja ni kama siku moja tu, ni kama jana ambayo imekwisha pita, ni kama makesha ya usiku mumoja.


Mungu akamujibu: “Mimi Ndimi Ninayekuwa. Uwaambie watu wa Israeli kwamba: Yule anayeitwa Ndimi Ninayekuwa amekutuma kwao.


Makao yangu yameongolewa kwangu; kama hema la muchungaji; kama, mufumaji nimefika kwa mwisho wa kizingo cha maisha yangu; Mungu amekata nyuzi zinazokishika; hata mbele ya mwisho wa siku amenikomesha.


Yesu akawajibu: “Kweli, kweli ninawaambia: mbele Abrahamu hajazaliwa, mimi nilikuwa niko.”


Yesu Kristo ni yule yule, jana, leo na hata milele.


Kila zawadi nzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu kwa Mungu Baba aliyeumba miangaza yote inayokuwa katika mbingu. Mungu hawezi kubadilika wala kugeuka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ