Waebrania 1:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Zamani Mungu alisema na babu zetu kwa njia ya manabii, mara nyingi na kwa namna nyingi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Halafu wakapanga siku ya kukutana na Paulo. Na siku ile watu wengi zaidi wakamufikia pahali alipopanga. Na tangu asubui mpaka magaribi Paulo akawaelezea mambo mengi na kutoa ushuhuda juu ya habari za Ufalme wa Mungu. Alitaka wasadiki habari za Yesu akitaja maneno ya Sheria ya Musa na ya vitabu vya manabii.