Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 8:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Mungu amewatia katika mikono yenu wale wakubwa wa Midiani, Kibombobombo na Imbwa-wa-Pori. Basi, mimi nimefanya nini nikilinganishwa nanyi?” Gideoni alipokwisha kusema hivyo, hasira yao juu yake ikatulia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 8:3
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Si sisi, ee Yawe, si sisi; lakini wewe peke yako utukuzwe, kwa ajili ya wema na uaminifu wako.


Kwa mukono wako mwenyewe uliyafukuza mataifa, na mahali pao ukawaikalisha watu wako; uliyaazibu mataifa, na kuwafanikisha watu wako.


Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.


Asiyekuwa mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwenye nguvu. Anayetawala nafsi yake ni bora kuliko anayetaka muji.


Neno linalosemwa kwa wakati unaofaa, ni kama michoro ya zahabu juu ya feza.


Kwa uvumilivu mutawala anaweza kusadikishwa; ulimi laini unavunja mifupa.


Kwa maana neno hili ni kweli: ‘Mutu mumoja anapanda na mwingine anavuna.’


Kufuatana na neema niliyopewa na Mungu, ninawaambia ninyi wote: mutu asijiwazie kuwa na ukubwa kupita vile inavyomustahili. Lakini mukuwe na mawazo ya ukadirifu, kila mumoja kulingana na kipimo cha imani aliyopewa na Mungu.


Tuko na zawadi mbalimbali kwa kadiri ya neema tuliyopewa na Mungu. Aliyepewa zawadi ya unabii, anapaswa kutabiri kwa kadiri ya imani yake.


Musifanye jambo lolote kwa roho ya mapingano wala kwa kujivuna bure, lakini munyenyekeane kila mutu akimuhesabu mwenzake kuwa muzuri kuliko yeye mwenyewe.


Lakini Gideoni akawajibu: “Mambo niliyofanya mimi si kitu kabisa yakilinganishwa na yale muliyoyafanya ninyi. Walichookota watu wa Efuraimu wakati wa mavuno ni kizuri kuliko mavuno ya jamaa yangu ya Abiezeri.


Gideoni na wenzake mia tatu wakafika Yordani, wakavuka. Ingawa walikuwa wamechoka sana, waliendelea kuwafuatilia waadui zao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ