Waamuzi 8:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Lakini Gideoni akawajibu: “Mambo niliyofanya mimi si kitu kabisa yakilinganishwa na yale muliyoyafanya ninyi. Walichookota watu wa Efuraimu wakati wa mavuno ni kizuri kuliko mavuno ya jamaa yangu ya Abiezeri. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |