Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 5:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Milima ilitikisika mbele yako Yawe, mulima Sinai mbele yako Yawe, Mungu wa Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 5:5
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anaiangalia dunia, nayo inatetemeka; anagusa milima, nayo inatoa moshi!


Milima ilirukaruka kama kondoo dume; vilima vikaruka kama wana-kondoo!


Ee Mungu, ulipowaongoza watu wako, uliposafiri kule katika jangwa,


dunia ilitetemeka, mbingu zilitiririsha mvua; mbele yako, Mungu wa Sinai, mbele yako, Mungu wa Israeli!


Milima inayeyuka kama inta mbele ya Yawe, mbele ya Bwana wa dunia yote.


Mulima wa Sinai ulikuwa umefunikwa na moshi kwa sababu Yawe alishuka juu yake katika moto. Moshi wa moto ule ulipanda juu kama moshi wa furu kubwa na mulima wote ukatetemeka kwa nguvu.


Watu waliposikia ngurumo na kuona umeme ukiwaka na kusikia sauti ya baragumu juu ya mulima uliokuwa unafuka moshi, wote wakaogopa na kutetemeka. Wote wakasimama mbali,


Tumekuwa kama watu ambao haujawatawala hata kidogo, kama watu ambao hawakujulikana kwa jina lako. Heri ungepasua mbingu ushuke chini, milima ingetetemeka mbele yako!


Milima inatetemeka mbele yake, vilima vinayeyuka. Dunia inatetemeka mbele yake, ulimwengu na vyote vinavyokuwa ndani yake.


Milima ilikuona, ikanyauka; mafuriko ya maji yakapita mule. Vilindi vya bahari vilinguruma, na kurusha juu mawimbi yake.


Ninyi hamujafikia kwenye kitu kinachoweza kuguswa kama vile Waisraeli walivyofikia kwenye mulima Sinai. Mulima ule uliwaka moto, ulifunikwa na giza nzito, nao ulikuwa na uvumi wa zoruba juu yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ