Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 5:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Viongozi walijitokeza kuongoza Israeli, watu walijitolea kwa mapenzi yao. Mumushukuru Yawe!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 5:2
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

na wa tatu alikuwa Amasia mwana wa Sikiri, akiwa na waaskari mashujaa elfu mia mbili. Amasia alijitolea kwa mapenzi yake kumutumikia Yawe.


Watu wakawasifu wale wote waliokubali kukaa katika Yerusalema.


Ee nafsi yangu, umusifu Yawe! Usisahau hata kidogo matendo mazuri yake yote.


Watu wako watajitolea, siku utakapokwenda kuwapiga waadui. Juu ya milima mitakatifu vijana wako watakufikia, kama umande unaotokeza asubui mapema.


Lakini akazamisha mufalme wa Misri na waaskari wake humo. Wema wake unadumu milele.


Yawe anaishi! Yeye ni kikingio changu – asifiwe! Mungu ni mwokozi wangu – atukuzwe!


Jina lako linasifiwa kila pahali, sifa zako zinaenea fasi zote katika dunia. Kwa mukono wako umetenda kwa haki.


Ee Yawe, Mungu mwenye kulipiza kisasi, ewe Mungu mwenye kulipiza kisasi, ujitokeze!


Watu wa Sayuni wanasikia hayo na kufurahi; watu wa Yuda wanashangilia kwa ajili ya hukumu zako, ee Mungu.


Ingekuwa nimechagua kazi hii kwa mapenzi yangu mwenyewe, ningeweza kungojea kupokea mushahara. Lakini kwa kuwa ni muzigo niliopewa, inanipasa kuitimiza.


Kwa maana kama mutu akiwa na moyo wa kutoa, Mungu anakubali kitu anachotoa kufuatana na kile anachokuwa nacho, wala si kufuatana na kile asichokuwa nacho.


Basi inafaa kila mutu atoe sawa alivyokusudia, si kwa huzuni wala si kwa kulazimishwa. Kwa maana Mungu anapenda mutu yule anayetoa kwa furaha.


Enyi mataifa, mushangilie watu wake, maana yeye analipiza kisasi damu ya watumishi wake, anawalipiza kisasi wapinzani wake, na kuitakasa inchi ya watu wake.


Alijichagulia eneo zuri kuliko yote, pahali sehemu ya kiongozi ilipotengwa. Aliwaongoza watu na kumutii Yawe, alitimiza mupango wa Mungu kwa Israeli.”


kwa maana Mungu anafanya kazi ndani yenu na kuwapa moyo wa kutaka na kutimiza mambo yanayolingana na mupango wake mwema.


Lakini sikutaka kufanya kitu chochote pasipo shauri lako. Wala sikutaka kukulazimisha unitendee mema; lakini ningetaka uyatende kwa mapenzi yako mwenyewe.


Enyi mbingu, nanyi watu wa Mungu pamoja na mitume na manabii wake, mufurahi kwa ajili ya mambo yaliyotokea muji ule, kwa maana Mungu amewapatia haki yenu kwa kuuhukumu!


Hukumu zake ni za kweli na za haki. Amehukumu yule kahaba mukubwa ambaye alikuwa akipotosha dunia kwa vitendo vyake vya uasherati. Mungu amemulipiza kisasi cha damu ya watumishi wake!”


Ninawapa heshima viongozi wa Israeli waliojitoa kwa mapenzi yao kati ya watu. Mushukuru Yawe!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ