Kwa hiyo Waisraeli wakapeleka watu wake elfu kumi na mbili elfu wanaokuwa hodari kabisa na kuwaamuru: “Muende muwaue wakaaji wa Yabesi-Gileadi; wanawake pamoja na watoto.
Wakataka kujua kama kulikuwa kikundi chochote cha makabila ya Israeli ambacho hakikuhuzuria mukutano mbele ya Yawe kule Mispa. Wakagundua kwamba hakuna mutu yeyote kutoka Yabesi-Gileadi aliyekuja kwenye mukutano ule.
Malaika wa Yawe anasema hivi: ‘Ulaani muji wa Merosi, uwalaani vikali wakaaji wake; maana hawakukuja kumusaidia Yawe hawakumusaidia Yawe juu ya wenye nguvu’.