Waamuzi 20:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
4 Yule Mulawi, mume wa yule muke, akawajibu: “Mimi na habara yangu tulifika katika muji wa Gibea, muji wa kabila la Benjamina kusudi tulale kule usiku.
Nao watu wa kabila la Benjamina, wakapata habari kwamba watu wale wengine wa Israeli walikuwa wamekusanyika kule Misipa. Basi Waisraeli wakamwuliza yule mwanaume Mulawi: “Utuelezee, uovu ule ulifanyika namna gani?”
Lakini watu wa muji wa Gibea wakakuja usiku wakaizunguka nyumba nilimokuwa nimelala. Wakataka kuniua, wakamutendea kwa kinguvu habara yangu mpaka akakufa.