Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 2:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Wakamuzika katika sehemu aliyogawanyiwa ikuwe yake kule Timunati-Heresi, katika inchi ya milima ya Efuraimu upande wa kaskazini wa mulima Gasi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 2:9
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walipomaliza kugawanyana sehemu zote za inchi, Waisraeli walimupa Yoshua mwana wa Nuni, sehemu yake katikati yao.


Kulingana na amri ya Yawe walimupa muji ambao aliuchagua yeye mwenyewe, ni kusema Timunati-Sera, ambao ulikuwa katika inchi ya milima ya Efuraimu. Naye Yoshua akaujenga upya muji ule na kukaa mule.


Nyuma ya mambo hayo, Yoshua mwana wa Nuni na mutumishi wa Yawe, akakufa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.


Nao wakamuzika kwenye eneo ambalo alikuwa amegawanyiwa kuwa sehemu yake, kule Timunati-Sera, katika milima ya Efuraimu, upande wa kaskazini wa mulima wa Gasi.


Nyuma ya kifo cha Yoshua, Waisraeli walimwuliza Yawe: “Ni kabila gani litakwenda kupigana kwanza na Wakanana?”


Yoshua mwana wa Nuni, na mutumishi wa Yawe, akakufa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ