6 Yoshua aliwatuma Waisraeli wote waende kwenye maeneo yao waliyogawanyiwa kwa kurizi inchi.
Basi, Yoshua akawabariki na kuwaruhusu waende zao akawaambia:
Wakapaita pahali pale Bokimu, ni kusema “Wanaolia”. Pale wakamutolea Yawe sadaka.
Waisraeli walimutumikia Yawe siku zote za maisha ya Yoshua na nyuma ya kifo chake kwa muda wote wale wazee waliobaki waliishi ambao waliyaona matendo makubwa ambayo Yawe aliwatendea Waisraeli.