Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 2:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Wakapaita pahali pale Bokimu, ni kusema “Wanaolia”. Pale wakamutolea Yawe sadaka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 2:5
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Debora, mulezi wa Rebeka, akakufa, akazikwa chini ya muti wa mwalo upande wa kusini wa Beteli. Kwa hiyo Yakobo akauita muji ule “Mwalo wa Maombolezo”.


Halafu wakalundika mawe mengi juu yake, ambayo yako mpaka leo. Hapo hasira ya Yawe ikapoa; na pahali pale pakaitwa Bonde la Akori, ni kusema Bonde la Taabu, mpaka hivi leo.


Hapo Manoa akatayarisha mwana-mbuzi na sadaka, akaviweka juu ya jiwe apate kumutolea Yawe anayefanya maajabu.


Malaika wa Yawe aliondoka Gilgali, akaenda Bokimu, akawaambia Waisraeli: “Niliwaondoa katika inchi ya Misri na kuwaleta katika inchi ambayo niliahidi kwa kiapo kwa babu zenu. Nilisema kwamba sitalivunja agano langu nanyi hata kidogo.


Malaika wa Yawe alipowaambia watu wote wa Israeli maneno haya, wakalalamika na kulia.


Yoshua aliwatuma Waisraeli wote waende kwenye maeneo yao waliyogawanyiwa kwa kurizi inchi.


Gideoni akamujengea Yawe mazabahu kule na kuyaita, “Yawe ni Amani.” Mazabahu hiyo iko kule Ofura, muji wa Waabiezeri, mpaka leo.


Kwa hiyo Samweli alitwaa mwana-kondoo anayenyonya akamutolea Yawe kama sadaka ya kuteketezwa. Kisha Samweli akamulilia Yawe kwa ajili ya Waisraeli, naye akajibu kilio chake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ