Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 2:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Kwa hiyo sasa ninasema: Sitawafukuza tena wakaaji wa inchi hii lakini watawataabisha ninyi, na miungu yao itakuwa mutego kwenu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 2:3
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Waliabudu sanamu za miungu yao, nazo zikakuwa mutego wa kuwaangamiza.


Musiwaruhusu waishi katika inchi yenu wasiwasukume kutenda zambi mbele yangu. Maana kama mukitumikia miungu yao, hakika ile itakuwa mutego wa kuwanasa.


Mufanye angalisho musifanye agano na wakaaji wa inchi munayoiendea, maana hiyo itakuwa mutego kati yenu.


Lakini kama musipowafukuza wenyeji wa inchi hiyo kwanza, basi wale mutakaowaacha watakuwa kama vile sindano ndani ya macho yenu au miiba kila upande, na watawasumbua.


Muangamize taifa lolote ambalo Yawe, Mungu wenu atalitia katika mikono yenu, wala musilionee huruma. Musiabudu miungu yao, maana jambo hili litakuwa mutego kwenu.


mujue kwa hakika kwamba Yawe, Mungu wenu, hataendelea kuyafukuza mataifa haya mbele yenu, lakini yatakuwa kwenu kikwazo na mutego. Yatakuwa kwenu mujeledi wa kuwapiga na miiba ya kuwachoma kwa macho mpaka pale mutakapoangamia na kutoka katika inchi hii nzuri ambayo Yawe, Mungu wenu, amewapa.


sitayafukuza tena mataifa ambayo Yoshua aliyaacha, wakati alipokufa.


Malaika wa Yawe alipowaambia watu wote wa Israeli maneno haya, wakalalamika na kulia.


Wakaoa wabinti zao na kuoesha wabinti zao kwa vijana wa mataifa hayo na kuiabudu miungu yao.


Gideoni akazitumia kwa kutengenezea kizibao ambacho alikiweka kwenye muji wake wa Ofura. Waisraeli wote wakaenda kule kukiabudu. Kizibao hicho kikakuwa mutego kwa Gideoni na jamaa yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ