Waamuzi 19:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Siku ya tano yule mutu akaamuka asubui, akataka kuondoka. Lakini baba ya yule mwanamuke akamwambia: “Kwanza upate nguvu kwa kula, ungoje mpaka jua litakaposhuka, halafu uondoke.” Basi wote wawili wakakula pamoja. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |