Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 19:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Siku ya tano yule mutu akaamuka asubui, akataka kuondoka. Lakini baba ya yule mwanamuke akamwambia: “Kwanza upate nguvu kwa kula, ungoje mpaka jua litakaposhuka, halafu uondoke.” Basi wote wawili wakakula pamoja.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 19:8
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

apate divai ya kumuchangamusha, mafuta ya muzeituni ya kumwangarisha, na mukate wa kumupa nguvu.


Siku ya ine, wakaamuka asubui mapema, wakajitayarisha kuondoka; lakini baba wa yule mwanamuke akamwambia: “Kwanza kula chakula kidogo upate nguvu, kisha uondoke.”


Yule mutu aliposimama akitaka kuondoka, baba mukwe akamusihi abaki, naye akabaki.


Yule Mulawi na habara yake pamoja na mutumishi wake waliposimama kwenda zao, baba mukwe wake akamwambia yule Mulawi: “Sasa muchana umekwisha na magaribi imekaribia. Ulale hapa, na kufurahi. Kesho asubui utaamuka mapema kuanza safari yako ya kurudi kwako.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ