Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 19:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Baba mukwe akamukaribisha, naye akakaa kule kwa muda wa siku tatu. Yule Mulawi na mutumishi wake wakakula, wakakunywa na kulala kule.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 19:4
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini wandugu na mama ya Rebeka wakasema: “Umwache binti akae nasi muda mufupi, kama siku kumi hivi; kisha anaweza kwenda.”


Lakini akawapa wana wa habara zake zawadi. Na wakati alipokuwa bado muzima, akawapeleka katika inchi ya upande wa mashariki, mbali na mwana wake Isaka.


Siku moja, mume wake akakwenda kumutafuta. Alikusudia kuongea naye vizuri na kumurudisha kwa nyumba yake. Akakwenda pamoja na mutumishi wake na punda wawili. Basi yule mwanamuke akamupeleka ndani kwa baba yake, naye baba mukwe alipomwona akamupokea kwa furaha.


Siku ya ine, wakaamuka asubui mapema, wakajitayarisha kuondoka; lakini baba wa yule mwanamuke akamwambia: “Kwanza kula chakula kidogo upate nguvu, kisha uondoke.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ