Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 17:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kijana huyo akaondoka Betelehemu katika inchi ya Yuda, akaenda kutafuta pahali pengine pa kuishi. Katika safari yake akafika katika nyumba ya Mika katika inchi ya milima ya Efuraimu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 17:8
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye Eleazari mwana wa Haruni, akakufa na kuzikwa Gibea, muji ambao mwana wake Finehasi alikuwa amepewa katika inchi ya milima ya Efuraimu.


Yule Mulawi akakubali, akakaa kule na kuwa kama mumoja wa wana wa Mika.


Wakati ule kulikuwa kijana mumoja Mulawi katika muji wa Betelehemu katika inchi ya Yuda.


Mika akamwuliza: “Umetoka wapi?” Naye akamujibu: “Mimi ni Mulawi, kutoka katika muji wa Betelehemu katika inchi ya Yuda. Nitakaa popote nitakapopata nafasi ya kukaa kama mugeni.”


Hapo zamani, wakati waamuzi walipokuwa wanatawala Waisraeli, kulitokea njaa katika inchi. Mutu mumoja kutoka Betelehemu katika Yuda pamoja na muke wake na watoto wao wanaume wawili walikwenda kuishi kwa muda katika inchi ya Moabu kwa kuishi kama wageni.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ