Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 16:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Delila alikuwa ameweka watu wamuvizie katika chumba cha ndani. Kisha, akamwambia Samusoni kwa sauti kubwa: “Samusoni! Wafilistini wanafika kukushambulia.” Samusoni akazikata kamba hizo kama nyuzi za kitani zinapogusa moto. Hivyo hakuna aliyegundua siri ya nguvu zake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 16:9
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

watoweke kama konokono anavyoyeyuka akitembea, kama mimba iliyoharibika isiyoona jua hata kidogo!


Alipofika Lehi, Wafilistini wakamwendea mbio na walikuwa wanapiga kelele. Kwa rafla roho wa Yawe akamushika Samusoni kwa nguvu na zile kamba walizomufunga kwenye mikono yake zikakatika kama kitani kilichoguswa na moto, navyo vifungo vikaanguka chini.


Delila akamwambia Samusoni: “Wewe umenichekelea. Umenidanganya. Tafazali, uniambie jinsi unavyoweza kufungwa.”


Samusoni akamujibu: “Wakinifunga kwa kamba saba mbichi za upinde, nitakuwa zaifu kama mutu yeyote.”


Wakubwa wa Wafilistini wakamuletea Delila kamba hizo saba mbichi za upinde, naye akamufunga Samusoni kwa kamba hizo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ