Waamuzi 16:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Lakini Samusoni akabaki katika muji mpaka saa za usiku kati. Wakati wa usiku kati akaamuka akashika miimo miwili ya mulango, akaiongoa pamoja na vifungio vyake akaibeba na kwenda nayo mpaka karibu na Hebroni. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |