Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 16:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Lakini Samusoni akabaki katika muji mpaka saa za usiku kati. Wakati wa usiku kati akaamuka akashika miimo miwili ya mulango, akaiongoa pamoja na vifungio vyake akaibeba na kwenda nayo mpaka karibu na Hebroni.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 16:3
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yeye anavunja na kufungua milango ya shaba, na kukatakata vifungio vya chuma.


Yule atakayepasua njia atawatangulia, nanyi mutauvunja mulango wa muji na kutoka inje, mutapita na kutoka inje. Mufalme wenu, atawatangulia; Yawe mwenyewe atawatangulia.


Lakini Mungu alimufufua, akimufungua toka vifungo vya lufu, kwa sababu haikuwezekana afungwe na lufu.


Watu wa Gaza walipoambiwa kwamba Samusoni yuko kule, wakalizunguka eneo hilo na kumuvizia kwenye mulango wa muji usiku kucha. Wakakaa kimya kule kwenye mulango usiku wote wakifikiri kwamba wanaweza kungojea mpaka mapambazuko wapate kumwua.


Nyuma ya mambo hayo, Samusoni akamupenda mwanamuke mumoja aliyeitwa Delila ambaye aliishi katika bonde la Soreki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ