Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 15:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Wafilistini wakakuja, wakapiga kambi yao katika inchi ya Yuda na kuushambulia muji wa Lehi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 15:9
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu wa Yuda wakawauliza: “Kwa nini mumekuja kutushambulia?” Nao wakawajibu: “Tumekuja kusudi tumufunge Samusoni na kumutendea kama alivyotutendea.”


Alipofika Lehi, Wafilistini wakamwendea mbio na walikuwa wanapiga kelele. Kwa rafla roho wa Yawe akamushika Samusoni kwa nguvu na zile kamba walizomufunga kwenye mikono yake zikakatika kama kitani kilichoguswa na moto, navyo vifungo vikaanguka chini.


Alipomaliza kusema, akatupa utaya huo. Pahali pale pakaitwa Ramati-Lehi, maana yake “Mulima wa Utaya”.


Mungu akafungua pahali palipokuwa shimo kule Lehi, akatiririsha maji. Samusoni akakunywa maji hayo na nguvu zake zikamurudilia. Chemichemi hiyo ikaitwa “Kisima cha Yule Anayeita” nayo iko kule Lehi mpaka leo.


Basi, akawashambulia vikali na kuwaua wengi. Kisha akaenda kuishi katika pango la Etamu lililokuwa chini ya jiwe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ