Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 15:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Halafu akaiwasha hiyo mienge na kuwaachilia. Wakaingia kwenye mashamba ya Wafilistini na kuteketeza miganda ya ngano na vilevile ngano iliyokuwa bado haijavunwa hata na mashamba ya mizeituni.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 15:5
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Abusaloma akawaambia watumishi wake: “Muangalie, Yoabu ana shamba la shayiri karibu na langu. Muende mulichome kwa moto.” Kwa hiyo watumishi wa Abusaloma wakalichoma shamba la Yoabu kwa moto.


Mutu akimwachia mwenzake feza au mali nyingine amutunzie, kisha ikaibiwa ndani ya nyumba yake, mwizi akipatikana anapaswa kulipa bei yake mara mbili.


Lakini katika mwaka wa saba, utayaacha mashamba yako bila kupanda mbegu, kusudi wamasikini kati ya watu wako wapate chakula kilichobakia mule na nyama wa pori wakule. Utafanya vile vile katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.


Basi, Samusoni akaenda, akawakamata mbweha mia tatu naye akawafunga mikia yao pamoja wawili wawili. Kisha akaweka mwenge katika kila mbweha wawili wawili.


Wafilistini walipotaka kujua aliyefanya hayo, waliambiwa: “Ni huyo Samusoni, mukwe wa Mutimuna, ndiye amefanya hivyo kwa sababu huyo baba mukwe wake ametwaa muke wake na kumwoesha kwa kijana mumoja aliyekuwa rafiki ya Samusoni mwenyewe katika arusi.” Basi Wafilistini wakaenda kumuchoma kwa moto yule mwanamuke pamoja na baba yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ