Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 15:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi, Samusoni akaenda, akawakamata mbweha mia tatu naye akawafunga mikia yao pamoja wawili wawili. Kisha akaweka mwenge katika kila mbweha wawili wawili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 15:4
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Abusaloma akawaambia watumishi wake: “Muangalie, Yoabu ana shamba la shayiri karibu na langu. Muende mulichome kwa moto.” Kwa hiyo watumishi wa Abusaloma wakalichoma shamba la Yoabu kwa moto.


Lakini hao wanaokusudia kupoteza maisha yangu, watatumbukia chini kwenye makao ya wafu.


Kama vile mwenda-wazimu anavyotupa mienge ya moto, mishale, na kifo,


Mutukamatie mbweha, wale mbweha wadogowadogo, wanaoharibu mizabibu yetu inayochanua.


Umwambie akuwe macho, atulie na asiogope wala asivunjike moyo, kwa sababu ya hasira kali ya mufalme Resini wa Aramu, na ya mwana wa Remalia. Hao wawili ni kama tu moshi wa kuni zinazozimika.


Maana mulima Sayuni umeachwa utupu, mbweha wanazungukazunguka humo.


Samusoni akamwambia: “Mara hii sitakuwa na kosa kwa yale nitakayowatendea Wafilistini.”


Halafu akaiwasha hiyo mienge na kuwaachilia. Wakaingia kwenye mashamba ya Wafilistini na kuteketeza miganda ya ngano na vilevile ngano iliyokuwa bado haijavunwa hata na mashamba ya mizeituni.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ