Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 15:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 akamwambia: “Mimi nilizani kwamba ulimuchukia kabisa. Kwa hiyo nilimwoesha kwa rafiki yako. Hata hivyo, dada yake mudogo ni muzuri kuliko yeye. Tafazali, umwoe huyo kwa pahali pake.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 15:2
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

akavua nguo zake za ujane na kujifunika kitambaa. Kisha akaikaa kwenye mulango wa kuingilia Enaimu, kijiji kilichokuwa katika njia kwenda Timuna. Alifanya hivyo kwa vile aliona kwamba Sela alikwisha kuwa mutu muzima, lakini yeye Tamari hakuoeshwa akuwe muke wake.


“Kweli mimi mwenyewe niliwaza kwamba nilipaswa kufanya yote ninayoweza kwa kupinga jina la Yesu wa Nazareti.


Muke wa Samusoni akamwendea Samusoni, na machozi yakimutiririka, akamwambia: “Kwa kweli unanichukia; haunipendi hata kidogo. Umewategea kitendawili watu wangu na haukuniambia maana yake.” Samusoni akamujibu: “Mimi sijawaelezea hata wazazi wangu. Sasa nitaweza namna gani kukuelezea wewe?”


Basi, wakamwoesha mwanamuke wake kwa kijana mumoja ambaye alikuwa rafiki ya Samusoni katika arusi.


Samusoni akamwambia: “Mara hii sitakuwa na kosa kwa yale nitakayowatendea Wafilistini.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ