16 Kisha Samusoni akasema: “Kwa utaya wa punda, nimeua watu elfu moja. Kwa utaya wa punda, nimekusanya malundo ya maiti.”
Samusoni akaona mufupa mubichi wa taya ya punda, akautumia kuwaua watu elfu moja.
Alipomaliza kusema, akatupa utaya huo. Pahali pale pakaitwa Ramati-Lehi, maana yake “Mulima wa Utaya”.
Watu walipomwona Samusoni wakamusifu mungu wao na kusema: “Mungu wetu amemutia adui yetu katika mikono yetu ambaye alikuwa akiharibu inchi yetu na kuwaua wengi kati yetu.”