Waamuzi 15:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
13 Nao wakamwambia: “Sisi hatutakuua lakini tutakufunga tu na kukutia katika mikono yao.” Basi, wakamufunga kwa kamba mbili mupya na kumutosha inje ya pango.
Alipofika Lehi, Wafilistini wakamwendea mbio na walikuwa wanapiga kelele. Kwa rafla roho wa Yawe akamushika Samusoni kwa nguvu na zile kamba walizomufunga kwenye mikono yake zikakatika kama kitani kilichoguswa na moto, navyo vifungo vikaanguka chini.