Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 15:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Nao wakamwambia: “Sisi hatutakuua lakini tutakufunga tu na kukutia katika mikono yao.” Basi, wakamufunga kwa kamba mbili mupya na kumutosha inje ya pango.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 15:13
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu huyo mwongozi akamujongelea Paulo, akamukamata na kuamuru afungwe na minyororo miwili. Kisha akauliza: “Mutu huyu ni nani? Naye amefanya nini?”


Wakamwambia: “Tumekuja kukufunga kusudi tukutie katika mikono yao.” Samusoni akawaambia: “Muniapie kwamba ninyi wenyewe hamutaniua.”


Alipofika Lehi, Wafilistini wakamwendea mbio na walikuwa wanapiga kelele. Kwa rafla roho wa Yawe akamushika Samusoni kwa nguvu na zile kamba walizomufunga kwenye mikono yake zikakatika kama kitani kilichoguswa na moto, navyo vifungo vikaanguka chini.


Samusoni akamujibu: “Wakinifunga kwa kamba nyipya ambazo hazijatumiwa, nitakuwa zaifu kama mutu yeyote.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ