Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 13:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kulikuwa mutu mumoja kule Zora, wa kabila la Dani, jina lake Manoa. Muke wake alikuwa tasa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 13:2
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sarai hakukuwa na mutoto kwa sababu alikuwa tasa.


Basi, Sarai, muke wa Abramu, alikuwa bado hajamuzalia mutoto, naye alikuwa na mujakazi aliyeitwa Hagari, kutoka Misri.


Rebeka alikuwa tasa, kwa hiyo Isaka akamwomba Yawe. Naye Yawe akakubali ombi lake, Rebeka akapata mimba.


“Dani atakuwa mwamuzi wa watu wake, kama moja ya makabila ya Israeli.


pamoja na ukoo hizi zilizoishi Kiriati-Yearimu: Waitiri, Waputi, Wasumati na Wamisira. (Wazorati na Waestaoli walitoka katika watu wale).


Lakini hawakukuwa na mutoto, kwa maana Elizabeti alikuwa tasa, tena wote wawili walikuwa wazee sana.


Eneo la inchi yao lilikuwa na miji ya: Zora, Estaoli, Iri-Semesi, Salabinu, Ayaloni, Itila, Eloni, Timuna, Ekuroni, Elteke, Gibetoni, Balati, Yehudi, Bene-Beraki, Gati-Rimoni, Me-Yarkoni na Rakoni na inchi iliyokuwa karibu na Yopa.


Malaika wa Yawe aliondoka Gilgali, akaenda Bokimu, akawaambia Waisraeli: “Niliwaondoa katika inchi ya Misri na kuwaleta katika inchi ambayo niliahidi kwa kiapo kwa babu zenu. Nilisema kwamba sitalivunja agano langu nanyi hata kidogo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ