Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 12:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Yeye alikuwa na wana makumi tatu na wabinti makumi tatu. Nao wabinti zake aliwaoesha inje ya ukoo wake, na wana aliwaoea wabinti makumi tatu kutoka inje ya ukoo wake. Ibusani alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka saba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 12:9
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watoto ni urizi kutoka kwa Yawe; uzao ni zawadi yake kwetu sisi.


Muoe, mupate watoto. Muwaoee wana wenu na kuowesha wabinti zenu, nao vilevile wapate watoto. Muongezeke kule wala musipunguke.


Yairi alikuwa na watoto wa kiume makumi tatu ambao walipanda juu ya punda makumi tatu na walikuwa na miji makumi tatu katika inchi ya Gileadi, ambayo mpaka leo inaitwa Miji ya Yairi.


Akakufa, akazikwa katika muji wa Betelehemu.


Yeye alikuwa na watoto wanaume makumi ine na wajukuu makumi tatu ambao walipanda juu ya punda makumi saba. Alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka minane.


Nyuma ya Yefuta, Ibusani wa muji wa Betelehemu akakuwa mwamuzi wa Israeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ