Waamuzi 12:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Yeye alikuwa na wana makumi tatu na wabinti makumi tatu. Nao wabinti zake aliwaoesha inje ya ukoo wake, na wana aliwaoea wabinti makumi tatu kutoka inje ya ukoo wake. Ibusani alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka saba. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |