Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 12:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi, Yefuta akakusanya watu wote wa Gileadi, akapigana na watu wa Efuraimu. Watu wa Gileadi wakawashinda watu wa Efuraimu. Hawa Waefuraimu ndio hao waliokuwa wamesema: “Ninyi watu wa Gileadi ni wakimbizi wa kabila la Efuraimu muliotoka katika kabila la Efuraimu mukaenda kwa kabila la Manase.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 12:4
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Nabali akawajibu watumishi wa Daudi: “Daudi ni nani? Mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumishi wengi wanaowakimbia wabwana zao.


Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.


Mutu mwovu ananaswa kwa uongo wake mwenyewe, lakini mwenye haki anatoka katika taabu.


Watu wa Efuraimu, pinde na mishale katika mukono, walirudi nyuma, wakakimbia siku ile ya vita.


Watu wa Yuda wakakuwa wanalalamika wakisema: “Tunachoka na kubeba mizigo na bado kuna takataka nyingi za kubeba. Hatuwezi kuendelea kujenga ukuta.”


Wale wazee wa Gileadi wakamwambia Yefuta: “Yawe atakuwa mushuhuda kati yetu. Hakika tutafanya kama ulivyosema.”


Nilipoona kwamba hamukukuja kuniokoa, nikahatarisha maisha yangu, nikavuka kwenda kupigana na Waamoni, naye Yawe akawatia katika mikono yangu. Kwa nini sasa munakuja kupigana na mimi?”


Kisha watu wakavishika vivuko vya muto Yordani kwa kuiziba njia ya watu wa Efuraimu. Kila mara mukimbizi alipotokea akiomba kupita kule, watu wa Gileadi walimwuliza: “Wewe ni Mwefuraimu?” Na kama akijibu “Hapana”,


Basi Elia wa kijiji cha Tisibe katika jimbo la Gileadi akamwambia mufalme Ahabu: “Kama vile Yawe, Mungu wa Israeli, ambaye ninamutumikia, anavyoishi, hakutakuwa umande wala mvua mpaka nitakapotoa amri.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ