Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 11:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Hao wazee wa Gileadi wakamwambia: “Ndiyo maana tumekufikia kusudi uende nasi kupigana na Waamoni, nawe utakuwa kiongozi wetu na wa wakaaji wote wa Gileadi.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 11:8
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, mufalme Yeroboamu akamwambia nabii: “Tafazali, umusihi Yawe, Mungu wako, uniombee mukono wangu upate kupona.” Naye nabii akamwomba Yawe, na mukono wa mufalme ukapona, ukarudia kwa hali yake ya zamani.


Kwa hiyo sasa ninawasihi munisamehe zambi yangu mara hii, muniombee kwa Yawe, Mungu wenu, aniondolee kifo hiki.”


Lakini hata mara hii mufalme wa Misri akafanya moyo wake kuwa magumu, wala hakuwaruhusu Waisraeli kuondoka.


Basi, Musa na Haruni wakaondoka kwa nyumba ya mufalme wa Misri na Musa akamulilia Yawe amwondolee mufalme vyura wale aliomuletea.


Mumwombe Yawe maana ngurumo hii na mvua ya mawe vimezidi. Mimi nitawaacha muondoke na wala hamutabakia tena.”


Waisraeli na viongozi wao wakaulizana: “Ni nani atakayeanza kupigana na Waamoni? Atakayefanya hivyo ndiye atakayekuwa kiongozi wa wakaaji wote wa Gileadi.”


Yefuta akawaambia hao wazee wa Gileadi: “Kama mukinirudisha kwetu kwa kupigana na Waamoni halafu Yawe akiwatia katika mikono yangu, mimi nitakuwa kiongozi wenu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ