Waamuzi 11:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
8 Hao wazee wa Gileadi wakamwambia: “Ndiyo maana tumekufikia kusudi uende nasi kupigana na Waamoni, nawe utakuwa kiongozi wetu na wa wakaaji wote wa Gileadi.”
Basi, mufalme Yeroboamu akamwambia nabii: “Tafazali, umusihi Yawe, Mungu wako, uniombee mukono wangu upate kupona.” Naye nabii akamwomba Yawe, na mukono wa mufalme ukapona, ukarudia kwa hali yake ya zamani.
Waisraeli na viongozi wao wakaulizana: “Ni nani atakayeanza kupigana na Waamoni? Atakayefanya hivyo ndiye atakayekuwa kiongozi wa wakaaji wote wa Gileadi.”
Yefuta akawaambia hao wazee wa Gileadi: “Kama mukinirudisha kwetu kwa kupigana na Waamoni halafu Yawe akiwatia katika mikono yangu, mimi nitakuwa kiongozi wenu.”