Lakini Yefuta akawaambia hao wazee wa Gileadi: “Si mulinichukia hata mukanifukuza kutoka kwa jamaa ya baba yangu? Kwa nini munanifikia sasa mukiwa katika taabu?”
Wakati huo mutu atamwambia ndugu yake wakiwa bado katika nyumba ya baba yao: Wewe uko na nguo; utakuwa mukubwa wetu. Kamata utawala juu ya mabomoko haya!