Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Gileadi alikuwa vilevile na wana wengine toka kwa muke wake. Watoto wa muke huyo walipokuwa wakubwa, wakamufukuza Yefuta kutoka kwao, wakamwambia: “Wewe hauna haki ya kupata urizi kutoka kwa baba yetu, maana wewe ni mutoto wa mwanamuke mwingine.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 11:2
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati ule, njaa ikatokea katika inchi. Njaa hiyo ilikuwa kali, hivyo Abramu akalazimika kwenda Misri kukaa kule kwa muda.


Basi, Sara akamwambia Abrahamu: “Fukuza mujakazi huyu na mwana wake. Haiwezekani kabisa mutoto wa mujakazi kurizi pamoja na mwana wangu Isaka.”


Utaepukana na mwanamuke mwasherati, mwanamuke kahaba wa maneno matamu,


Mwana wangu, kwa nini kutekwa na mwanamuke mwasherati? Kwa nini kukumbatia mwanamuke mugeni katika kifua?


Midomo ya mwanamuke mupotovu ni mitamu kama asali, maneno yake ni laini kuliko mafuta;


Lakini Maandiko Matakatifu yanasema nini? Yanasema: “Fukuza mujakazi huyu pamoja na mwana wake; kwa maana mwana wa mujakazi hatarizi pamoja na mwana wa muke huru.”


“Mwanaume yeyote aliyeumizwa au aliyekatwa kiungo chake cha kiume haruhusiwi kujiunga na kusanyiko la watu wa Yawe.


Kule Gileadi kulikuwa mupiganaji mumoja anayeitwa Yefuta, mwana wa mama mumoja kahaba, na baba yake aliitwa Gileadi.


Basi, Yefuta akawakimbia wandugu zake akaenda kuishi katika inchi ya Tobu. Kule watu wa ovyo wakakusanyika kujiunga naye, wakamufuata katika safari zake za mashambulio.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ