Waamuzi 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Gileadi alikuwa vilevile na wana wengine toka kwa muke wake. Watoto wa muke huyo walipokuwa wakubwa, wakamufukuza Yefuta kutoka kwao, wakamwambia: “Wewe hauna haki ya kupata urizi kutoka kwa baba yetu, maana wewe ni mutoto wa mwanamuke mwingine.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |