Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waamuzi 1:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Watu wa kabila la Yuda wakawaambia wandugu zao, watu wa kabila la Simeoni: “Mushirikiane nasi tunapokwenda kuitwaa inchi hiyo ambayo tumepewa. Nasi, vilevile tutashirikiana nanyi kwenda kuitwaa inchi mutakayopewa.” Hivyo kabila la Simeoni likakubali kushirikiana nao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waamuzi 1:3
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lea akapata mimba tena, akazaa mutoto mwanaume, akamwita Simeoni, akisema: “Yawe amenipa mutoto mwingine mwanaume kwa sababu amesikia jinsi ninavyochukiwa.”


Yoabu akamwambia Abisayi: “Ikiwa Waaramu wananishinda nguvu, utanisaidia lakini kama Waamoni wanakushinda nguvu, nitakuja kukusaidia.


Kura ya pili ilizipata ukoo za kabila la Simeoni na sehemu yao ya inchi ilikuwa imezungukwa na ile ya kabila la Yuda.


Watu wa kabila la Yuda walishirikiana na wandugu zao, watu wa kabila la Simeoni, wakawashinda Wakanana waliokaa Sefati. Wakaangamiza kabisa muji ule na kugeuza jina lake kuwa Horma, ni kusema “Maangamizo”.


Yawe akawajibu: “Kabila la Yuda litakwenda kupigana nao kwanza, maana nimeitia inchi hiyo katika mikono yao.”


Basi watu wa kabila la Yuda wakaenda kufanya mashambulio, naye Yawe akawatia Wakanana na Waperizi katika mikono yao, wakawaua watu elfu kumi katika vita kule Bezeki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ