Ufunuo 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Kisha mambo yale, nikaona wamalaika wane wakisimama kwenye pembe ine za dunia, wakizuiza upepo toka pande ine za dunia, kusudi usivume juu ya dunia, wala juu ya bahari, wala juu ya muti wowote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |