Ufunuo 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Wakati alipokuwa amekwisha kukamata kizingo, vile viumbe vine vya ajabu na wale wazee makumi mbili na wane wakainama uso mpaka chini mbele ya Mwana-Kondoo. Kila mumoja wao alikuwa na kinubi na vikombe vya zahabu vilivyojaa marasi, ndiyo maombi ya watu wa Mungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |