Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ufunuo 5:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Lakini hakukuwa hata mutu mbinguni, wala katika dunia, wala katika kuzimu aliyeweza kufungua kizingo kile na kuangalia ndani yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ufunuo 5:3
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nimeangalia vizuri sana, lakini simwoni mutu yeyote; hakuna yeyote kati ya hao miungu anayeweza kushauri; nikiuliza, hakuna anayeweza kunijibu.


Kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Ni nani anayejua mafikiri ya Bwana? Ni nani anayeweza kuwa mushauri wake?


kusudi kwa kuheshimu jina la Yesu, viumbe vyote vinavyokuwa katika mbingu, katika dunia na katika kuzimu, vipige magoti mbele yake,


Nikasikia vilevile viumbe vyote vinavyokuwa mbinguni, katika dunia, katika kuzimu na vile vinavyokuwa katika bahari; viumbe vyote vya ulimwengu nzima vikimwimbia: “Utukufu, heshima, sifa na nguvu milele na milele, kwa yule anayeikaa juu kiti cha kifalme na kwa Mwana-Kondoo.”


Nami nikalia sana, kwa sababu hakukuonekana mutu aliyestahili kufungua kizingo wala kuangalia ndani yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ