Ufunuo 5:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Kisha nikaona kizingo cha karatasi katika mukono wa kuume wa yule aliyeikaa juu ya kiti cha kifalme. Kizingo kile kilikuwa kimeandikwa ngambo na ngambo na kufungwa kwa vifundo saba vya mihuri. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |