Ufunuo 4:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Na kila kimoja cha viumbe vya ajabu kilikuwa na mabawa sita yenye kujaa macho ndani na inje. Navyo viliimba muchana na usiku bila kuchoka, vikisema: “Mutakatifu, mutakatifu, mutakatifu ni Bwana wetu, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwa, anayekuwa na anayekuja.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |