Ufunuo 4:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Tena mbele ya kiti kile kulionekana kama bahari ya kioo, kulingaa sana kama kilauri. Kile kiti cha kifalme kilikuwa kimezungukwa pande zote na viumbe vine vya ajabu, vyenye kujaa macho mbele na nyuma. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |