Ufunuo 4:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Nyuma ya mambo hayo nilipata maono mengine. Niliona mulango mumoja umefunguliwa wazi mbinguni. Halafu ile sauti niliyosikia mara ya kwanza, iliyolia kama baragumu, ikaniambia: “Panda huku, nami nitakuonyesha mambo yanayopaswa kutokea nyuma ya hayo ya mbele.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |