Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Ufunuo 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Lakini uko na neno hili zuri: unachukia matendo ya Wanikolayi kama vile ninavyoyachukia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Ufunuo 2:6
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini nabii Yehu mwana wa Hanani, akakwenda kukutana na mufalme, akamwambia: “Unazani ni vema kuwasaidia waovu na kuwapenda wanaomuchukia Yawe? Mambo uliyofanya yamekuletea kasirani ya Yawe.


sitavumilia hata kidogo mambo ya upuuzi. Ninachukia matendo ya watu wapotovu, mimi sitaambatana nayo.


Ninachukia mikutano ya wabaya; wala sitakusanyika na waovu.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda nitamupa ruhusa ya kula matunda ya muti wa uzima unaokuwa katika bustani ya Mungu!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ