Ufunuo 18:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Ni kwa sababu mataifa yote yalileweshwa na divai kali ya uasherati wa muji ule. Wafalme wa dunia wamezini nao, na wachuuzi wa dunia wamejitajirisha kutokana na uwingi wa mali zake.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |